Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Yaliyo bora zaidi kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wako utayaleta katika nyumba ya Yehova Mungu wako.+

      “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Mambo ya Walawi 27:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “‘Ila tu hakuna kitu chochote kilichotolewa wakfu ambacho huenda mtu akamtolea Yehova kwa ajili ya uharibifu+ kutoka katikati ya vyote vilivyo vyake, iwe ni kutoka kwa wanadamu au wanyama au kutoka katika shamba lililo mali yake, kitakachouzwa, wala hakuna aina yoyote ya kitu kilichotolewa ambacho kitanunuliwa.+ Hicho ni kitu kitakatifu zaidi kwa Yehova.

  • Mambo ya Walawi 27:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “‘Na kila sehemu ya kumi+ ya nchi, kutoka katika mbegu ya nchi na tunda la mti, ni ya Yehova. Ni kitu kitakatifu kwa Yehova.

  • Hesabu 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na hiki ni chako: mchango+ wa zawadi yao pamoja na matoleo yote ya kutikisa+ ya wana wa Israeli. Nimekupa wewe na wana wako na binti zako pamoja nawe vitu hivyo,+ viwe posho mpaka wakati usio na kipimo. Kila mtu aliye safi katika nyumba yako anaweza kula.+

  • Hesabu 18:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na wewe utasema na Walawi, nawe utawaambia, ‘Mtapokea kutoka kwa wana wa Israeli sehemu ya kumi ambayo nimewapa ninyi kutoka kwao kwa ajili ya urithi wenu,+ nanyi mtatoa mchango wenu kutoka katika hiyo uwe mchango kwa Yehova wa sehemu ya kumi ya hiyo sehemu ya kumi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki