Hesabu 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Na kwa wana wa Lawi, tazama! nimewapa kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao wanaofanya, utumishi wa hema la mkutano. Kumbukumbu la Torati 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jiangalie usije ukamwacha Mlawi+ siku zako zote kwenye nchi yako.
21 “Na kwa wana wa Lawi, tazama! nimewapa kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao wanaofanya, utumishi wa hema la mkutano.