-
Nehemia 10:37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Pia, mazao ya kwanza ya unga wetu wenye chenga-chenga+ na michango+ yetu na matunda ya kila namna ya mti,+ divai mpya+ na mafuta+ inatupasa tulete kwa makuhani katika majumba ya kulia chakula+ ya nyumba ya Mungu wetu, pia sehemu ya kumi kutoka katika udongo wetu tuwaletee Walawi,+ kwa maana wao, Walawi, ndio hupokea sehemu ya kumi katika majiji yetu yote ya kilimo.
-
-
Nehemia 12:44Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
44 Tena wanaume wakawekwa siku hiyo juu ya majumba+ ya maghala,+ ya michango,+ ya mazao ya kwanza+ na ya sehemu za kumi,+ ili kukusanya ndani yake mafungu yaliyohitajiwa na sheria+ kutoka katika mashamba ya majiji kwa ajili ya makuhani na Walawi;+ kwa maana shangwe ya Yuda ilitokana na makuhani na Walawi+ waliokuwa wakihudumu.
-