38 Na kuhani, mwana wa Haruni, atakuwa pamoja na Walawi wakati Walawi wanapopokea sehemu ya kumi; Walawi nao inawapasa watoe sehemu ya kumi ya ile sehemu ya kumi kwa nyumba ya Mungu wetu+ katika majumba ya kulia chakula+ ya nyumba ya kuweka akiba ya vitu.
10 Leteni ghalani sehemu zote za kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ nanyi, tafadhali, mnijaribu kwa njia hii,”+ Yehova wa majeshi amesema, “kama sitawafungulia ninyi malango ya mbinguni+ na kuwamwagia baraka hata kusiwe na uhitaji tena.”+