1 Mambo ya Nyakati 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana kulikuwa na wanaume wanne wenye nguvu katika vyeo vya kutegemewa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba vya kulia+ chakula na hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli. 2 Mambo ya Nyakati 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Hezekia akasema vyumba vya kulia chakula+ vitayarishwe katika nyumba ya Yehova. Basi wakavitayarisha.
26 Kwa maana kulikuwa na wanaume wanne wenye nguvu katika vyeo vya kutegemewa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba vya kulia+ chakula na hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli.
11 Kwa hiyo Hezekia akasema vyumba vya kulia chakula+ vitayarishwe katika nyumba ya Yehova. Basi wakavitayarisha.