28 Kwa maana utendaji wao ulikuwa chini ya mwelekezo wa wana wa Haruni+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova juu ya nyua+ na juu ya vyumba vya kulia chakula+ na juu ya utakaso wa kila kitu kitakatifu+ na kazi ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli,