Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Na kwa wana wa Lawi, tazama! nimewapa kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao wanaofanya, utumishi wa hema la mkutano.

  • Kumbukumbu la Torati 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Mlawi aliye ndani ya malango yako, hutamwacha,+ kwa maana yeye hana fungu wala urithi pamoja nawe.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tena akawaambia watu, wakaaji wa Yerusalemu, kwamba watoe fungu la makuhani+ na la Walawi,+ ili waishike+ kabisa sheria ya Yehova.+

  • Nehemia 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na kuhani, mwana wa Haruni, atakuwa pamoja na Walawi wakati Walawi wanapopokea sehemu ya kumi; Walawi nao inawapasa watoe sehemu ya kumi ya ile sehemu ya kumi kwa nyumba ya Mungu wetu+ katika majumba ya kulia chakula+ ya nyumba ya kuweka akiba ya vitu.

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.”

      Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?”

      “Katika sehemu za kumi na katika michango.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki