Hesabu 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Ona kwamba nimewapa wana wa Lawi kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao, utumishi wa hema la mkutano. Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:21 Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 170
21 “Ona kwamba nimewapa wana wa Lawi kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao, utumishi wa hema la mkutano.