Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Na kwa wana wa Lawi, tazama! nimewapa kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao wanaofanya, utumishi wa hema la mkutano.

  • Kumbukumbu la Torati 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jiangalie usije ukamwacha Mlawi+ siku zako zote kwenye nchi yako.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tena akawaambia watu, wakaaji wa Yerusalemu, kwamba watoe fungu la makuhani+ na la Walawi,+ ili waishike+ kabisa sheria ya Yehova.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki