21 “Na kwa wana wa Lawi, tazama! nimewapa kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao wanaofanya, utumishi wa hema la mkutano.
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?