Nehemia 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikagundua kwamba Walawi hawakuwa wamepewa mafungu yao,+ hivi kwamba Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikimbia, kila mmoja akaenda katika shamba lake mwenyewe.+ 1 Wakorintho 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali?
10 Nami nikagundua kwamba Walawi hawakuwa wamepewa mafungu yao,+ hivi kwamba Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikimbia, kila mmoja akaenda katika shamba lake mwenyewe.+
9 Kwa maana katika sheria ya Musa imeandikwa: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka.”+ Je, ni ng’ombe ambao Mungu anajali?