Nehemia 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pia, nikagundua kwamba Walawi+ hawakuwa wakipewa mafungu yao,+ hivyo Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikuwa wameondoka, kila mmoja akaenda kwenye shamba lake.+
10 Pia, nikagundua kwamba Walawi+ hawakuwa wakipewa mafungu yao,+ hivyo Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikuwa wameondoka, kila mmoja akaenda kwenye shamba lake.+