Nehemia 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikagundua kwamba Walawi hawakuwa wamepewa mafungu yao,+ hivi kwamba Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikimbia, kila mmoja akaenda katika shamba lake mwenyewe.+
10 Nami nikagundua kwamba Walawi hawakuwa wamepewa mafungu yao,+ hivi kwamba Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikimbia, kila mmoja akaenda katika shamba lake mwenyewe.+