-
Nehemia 10:37Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
37 Pia, mazao ya kwanza ya unga wetu wenye chenga-chenga+ na michango+ yetu na matunda ya kila namna ya mti,+ divai mpya+ na mafuta+ inatupasa tulete kwa makuhani katika majumba ya kulia chakula+ ya nyumba ya Mungu wetu, pia sehemu ya kumi kutoka katika udongo wetu tuwaletee Walawi,+ kwa maana wao, Walawi, ndio hupokea sehemu ya kumi katika majiji yetu yote ya kilimo.
-
-
Malaki 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.”
Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?”
“Katika sehemu za kumi na katika michango.
-