Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 10:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Pia, mazao ya kwanza ya unga wetu wenye chenga-chenga+ na michango+ yetu na matunda ya kila namna ya mti,+ divai mpya+ na mafuta+ inatupasa tulete kwa makuhani katika majumba ya kulia chakula+ ya nyumba ya Mungu wetu, pia sehemu ya kumi kutoka katika udongo wetu tuwaletee Walawi,+ kwa maana wao, Walawi, ndio hupokea sehemu ya kumi katika majiji yetu yote ya kilimo.

  • Nehemia 12:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na Israeli wote katika siku za Zerubabeli+ na katika siku za Nehemia+ walikuwa wakitoa mafungu kwa ajili ya waimbaji+ na watunza-malango+ kulingana na uhitaji wa kila siku. Nao walikuwa wakiyatakasa kwa Walawi;+ nao Walawi walikuwa wakiyatakasa kwa wana wa Haruni.

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mtu wa udongo atamnyang’anya Mungu? Lakini ninyi mnaninyang’anya mimi.”

      Nanyi mmesema: “Tumekunyang’anya kwa njia gani?”

      “Katika sehemu za kumi na katika michango.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki