39 Kwa maana wana wa Israeli na wana wa Walawi wanapaswa kuleta mchango+ wa nafaka, divai mpya+ na mafuta katika majumba ya kulia chakula, na humo ndimo mna vyombo vya patakatifu na makuhani waliokuwa wakihudumu,+ na watunza-malango+ na waimbaji;+ nasi hatupaswi kuipuuza nyumba ya Mungu wetu.+