10 Nami nikagundua kwamba Walawi hawakuwa wamepewa mafungu yao,+ hivi kwamba Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikimbia, kila mmoja akaenda katika shamba lake mwenyewe.+
11 Nami nikaanza kuwalaumu+ watawala-wasaidizi+ na kusema: “Kwa nini nyumba ya Mungu wa kweli imepuuzwa?”+ Kwa hiyo nikawakusanya pamoja na kuwasimamisha mahali pao pa kusimama.