26 kengele na komamanga, kengele na komamanga kwenye upindo wa hilo koti kuzunguka pande zote,+ kwa ajili ya kuhudumu, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
26 Naye atawahudumia ndugu zake katika hema la mkutano kwa kutimiza wajibu huo, lakini hatatoa utumishi wowote. Utawafanyia Walawi hivyo katika wajibu wao mbalimbali.”+
5 Kwa maana yeye ndiye ambaye Yehova Mungu wako amechagua kutoka kati ya makabila yako yote, asimame ili kuhudumu katika jina la Yehova, yeye na wanawe, sikuzote.+