Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Nao Walawi watapiga kambi kuizunguka maskani ya Ushuhuda, ili ghadhabu+ yoyote isizuke juu ya kusanyiko la wana wa Israeli; nao Walawi watashika utumishi wa maskani ya Ushuhuda.”+

  • Hesabu 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na mkuu wa wakuu wa wana wa Lawi alikuwa Eleazari+ mwana wa Haruni kuhani, aliyekuwa mwangalizi wa wale waliokuwa wakitimiza wajibu wa mahali patakatifu.

  • Hesabu 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wataungana nawe na watashika wajibu wao kwa hema la mkutano kuhusu utumishi wote wa hema, wala mgeni yeyote asiwakaribie ninyi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+

  • Ezekieli 44:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na katika patakatifu pangu watakuwa wahudumu katika vyeo vya uangalizi juu ya malango ya ile Nyumba na wahudumu kwenye ile Nyumba.+ Wao wenyewe watachinja toleo zima la kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu,+ na wao wenyewe watasimama mbele yao ili kuwahudumia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki