11 Na katika patakatifu pangu watakuwa wahudumu katika vyeo vya uangalizi juu ya malango ya ile Nyumba na wahudumu kwenye ile Nyumba.+ Wao wenyewe watachinja toleo zima la kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu,+ na wao wenyewe watasimama mbele yao ili kuwahudumia.+