Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Jambo hili linawahusu Walawi: Kuanzia umri wa miaka 25 na zaidi, ataingia katika ushirika katika utumishi wa hema la mkutano.

  • Hesabu 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao watashika wajibu wao kwako na wajibu wao kwa hema lote.+ Ila wasikaribie vyombo vya mahali patakatifu na madhabahu wasije wakafa,+ wao wala ninyi.

  • Hesabu 31:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na kutoka katika nusu ya wana wa Israeli utachukua mmoja kati ya 50, kati ya binadamu, kati ya mifugo, kati ya punda na kati ya kundi, kati ya kila namna ya wanyama wa kufugwa, nawe utawapa Walawi,+ watunzaji wa wajibu wa maskani ya Yehova.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini sisi, Yehova ndiye Mungu wetu,+ nasi hatujamwacha; lakini makuhani wanamtumikia Yehova, wana wa Haruni, na pia Walawi katika kazi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki