5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
16 Na wale waliowafuata kutoka katika makabila yote ya Israeli, ambao walikuwa wakitoa moyo wao kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli, wakaja Yerusalemu+ kumtolea dhabihu+ Yehova Mungu wa mababu zao.