Hesabu 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wanapaswa kutimiza majukumu utakayowapa na utumishi wa hema lote.+ Hata hivyo, hawapaswi kukaribia vyombo vya mahali patakatifu na madhabahu, ili wewe pamoja nao msife.+
3 Wanapaswa kutimiza majukumu utakayowapa na utumishi wa hema lote.+ Hata hivyo, hawapaswi kukaribia vyombo vya mahali patakatifu na madhabahu, ili wewe pamoja nao msife.+