Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 13:1

Marejeo

  • +1Fa 15:1

2 Mambo ya Nyakati 13:2

Marejeo

  • +1Fa 15:2; 2Nya 11:20
  • +Yos 18:28; 1Sa 10:26
  • +1Fa 15:6

2 Mambo ya Nyakati 13:3

Marejeo

  • +2Nya 11:1
  • +Zb 33:16

2 Mambo ya Nyakati 13:4

Marejeo

  • +Yos 17:15

2 Mambo ya Nyakati 13:5

Marejeo

  • +Mwa 49:10; 2Sa 7:8; Zb 78:71
  • +2Sa 7:13; 1Nya 17:14
  • +1Nya 17:11; Zb 89:29; Lu 1:32
  • +Hes 18:19; Zb 89:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 20

2 Mambo ya Nyakati 13:6

Marejeo

  • +2Nya 10:2
  • +1Fa 11:26
  • +1Fa 12:20; 2Nya 10:18
  • +1Fa 11:27

2 Mambo ya Nyakati 13:7

Marejeo

  • +Amu 9:4; Mdo 17:5
  • +Kum 13:13; 1Fa 21:10
  • +2Nya 10:16
  • +Kum 20:8

2 Mambo ya Nyakati 13:8

Marejeo

  • +2Nya 9:8
  • +Zb 33:16
  • +Kum 32:17; 1Fa 12:28; 2Nya 11:15; Ho. 8:5

2 Mambo ya Nyakati 13:9

Marejeo

  • +2Nya 11:14
  • +1Fa 12:31, 33; 13:33
  • +Kum 32:17; 2Fa 19:18; Mdo 19:26

2 Mambo ya Nyakati 13:10

Marejeo

  • +Kut 19:5; 2Nya 11:16
  • +Hes 16:40

2 Mambo ya Nyakati 13:11

Marejeo

  • +Kut 29:39
  • +Kut 30:1; 2Nya 2:4
  • +Kut 25:30; Law 24:6; 1Nya 23:29; Mt 12:4
  • +Kut 25:31; 27:20; 2Nya 4:7
  • +Law 24:2
  • +Mwa 26:5; Hes 9:19; Kum 11:1
  • +Kum 28:15; Zb 73:27

2 Mambo ya Nyakati 13:12

Marejeo

  • +Hes 23:21; Kum 20:4; Zb 20:7; Ro 8:31
  • +Yos 6:4
  • +Hes 10:9
  • +Isa 45:9; Mdo 5:39
  • +Ayu 40:9; Isa 40:15; Ebr 10:31

2 Mambo ya Nyakati 13:13

Marejeo

  • +Yos 8:4

2 Mambo ya Nyakati 13:14

Marejeo

  • +Yos 8:20
  • +2Nya 14:11; 18:31; Zb 46:1; 50:15; 118:12

2 Mambo ya Nyakati 13:15

Marejeo

  • +Yos 6:16; Amu 7:18
  • +Hes 32:4; 2Nya 14:12
  • +2Nya 13:1

2 Mambo ya Nyakati 13:16

Marejeo

  • +Amu 1:4

2 Mambo ya Nyakati 13:18

Marejeo

  • +2Fa 18:5; 1Nya 5:20; 2Nya 16:8; Zb 22:5; 37:5; 146:5; Nah 1:7; 1Ti 4:10

2 Mambo ya Nyakati 13:19

Marejeo

  • +Yos 12:9; Amu 21:19; 1Sa 13:2; 1Fa 12:29
  • +Yoh 11:54

2 Mambo ya Nyakati 13:20

Marejeo

  • +Zb 18:38
  • +1Sa 25:38; 2Sa 12:15; 1Fa 14:20; Mdo 12:23

2 Mambo ya Nyakati 13:21

Marejeo

  • +2Sa 5:12
  • +Kum 17:17; 2Sa 5:13; 1Fa 11:3
  • +Zb 127:5

2 Mambo ya Nyakati 13:22

Marejeo

  • +2Nya 9:29; 12:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 13:11Fa 15:1
2 Nya. 13:21Fa 15:2; 2Nya 11:20
2 Nya. 13:2Yos 18:28; 1Sa 10:26
2 Nya. 13:21Fa 15:6
2 Nya. 13:32Nya 11:1
2 Nya. 13:3Zb 33:16
2 Nya. 13:4Yos 17:15
2 Nya. 13:5Mwa 49:10; 2Sa 7:8; Zb 78:71
2 Nya. 13:52Sa 7:13; 1Nya 17:14
2 Nya. 13:51Nya 17:11; Zb 89:29; Lu 1:32
2 Nya. 13:5Hes 18:19; Zb 89:28
2 Nya. 13:62Nya 10:2
2 Nya. 13:61Fa 11:26
2 Nya. 13:61Fa 12:20; 2Nya 10:18
2 Nya. 13:61Fa 11:27
2 Nya. 13:7Amu 9:4; Mdo 17:5
2 Nya. 13:7Kum 13:13; 1Fa 21:10
2 Nya. 13:72Nya 10:16
2 Nya. 13:7Kum 20:8
2 Nya. 13:82Nya 9:8
2 Nya. 13:8Zb 33:16
2 Nya. 13:8Kum 32:17; 1Fa 12:28; 2Nya 11:15; Ho. 8:5
2 Nya. 13:92Nya 11:14
2 Nya. 13:91Fa 12:31, 33; 13:33
2 Nya. 13:9Kum 32:17; 2Fa 19:18; Mdo 19:26
2 Nya. 13:10Kut 19:5; 2Nya 11:16
2 Nya. 13:10Hes 16:40
2 Nya. 13:11Kut 29:39
2 Nya. 13:11Kut 30:1; 2Nya 2:4
2 Nya. 13:11Kut 25:30; Law 24:6; 1Nya 23:29; Mt 12:4
2 Nya. 13:11Kut 25:31; 27:20; 2Nya 4:7
2 Nya. 13:11Law 24:2
2 Nya. 13:11Mwa 26:5; Hes 9:19; Kum 11:1
2 Nya. 13:11Kum 28:15; Zb 73:27
2 Nya. 13:12Hes 23:21; Kum 20:4; Zb 20:7; Ro 8:31
2 Nya. 13:12Yos 6:4
2 Nya. 13:12Hes 10:9
2 Nya. 13:12Isa 45:9; Mdo 5:39
2 Nya. 13:12Ayu 40:9; Isa 40:15; Ebr 10:31
2 Nya. 13:13Yos 8:4
2 Nya. 13:14Yos 8:20
2 Nya. 13:142Nya 14:11; 18:31; Zb 46:1; 50:15; 118:12
2 Nya. 13:15Yos 6:16; Amu 7:18
2 Nya. 13:15Hes 32:4; 2Nya 14:12
2 Nya. 13:152Nya 13:1
2 Nya. 13:16Amu 1:4
2 Nya. 13:182Fa 18:5; 1Nya 5:20; 2Nya 16:8; Zb 22:5; 37:5; 146:5; Nah 1:7; 1Ti 4:10
2 Nya. 13:19Yos 12:9; Amu 21:19; 1Sa 13:2; 1Fa 12:29
2 Nya. 13:19Yoh 11:54
2 Nya. 13:20Zb 18:38
2 Nya. 13:201Sa 25:38; 2Sa 12:15; 1Fa 14:20; Mdo 12:23
2 Nya. 13:212Sa 5:12
2 Nya. 13:21Kum 17:17; 2Sa 5:13; 1Fa 11:3
2 Nya. 13:21Zb 127:5
2 Nya. 13:222Nya 9:29; 12:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 13:1-22

2 Mambo ya Nyakati

13 Abiya alianza kutawala Yuda+ katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yeroboamu. 2 Akatawala miaka mitatu katika Yerusalemu, na jina la mama yake lilikuwa Mikaya+ binti ya Urieli wa Gibea.+ Na vita vikatokea kati ya Abiya na Yeroboamu.+

3 Basi Abiya akaingia vitani na jeshi la wanaume wenye nguvu wa vita,+ mia nne elfu, wanaume waliochaguliwa. Naye Yeroboamu akajipanga kivita kupigana naye akiwa na wanaume waliochaguliwa mia nane elfu, mashujaa, wanaume wenye nguvu.+ 4 Sasa Abiya akasimama juu ya Mlima Semaraimu, ulio katika eneo lenye milima la Efraimu,+ na kusema: “Mnisikilize, Ee Yeroboamu na Israeli wote. 5 Je, si juu yenu kujua kwamba Yehova Mungu wa Israeli mwenyewe alimpa Daudi+ ufalme juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo,+ kwake na kwa wanawe,+ kwa agano la chumvi?+ 6 Na Yeroboamu+ mwana wa Nebati, mtumishi+ wa Sulemani mwana wa Daudi, akasimama na kumwasi+ bwana wake.+ 7 Na watu wazembe,+ watu wasiofaa kitu,+ wakaendelea kujikusanya kando yake. Mwishowe wakawa na nguvu kuliko Rehoboamu mwana wa Sulemani, wakati Rehoboamu+ alipokuwa mchanga na mwenye moyo mwoga,+ naye hakuweza kusimama kupigana nao.

8 “Na sasa ninyi mnafikiri juu ya kusimama imara kupigana na ufalme wa Yehova mkononi mwa wana wa Daudi,+ huku mkiwa umati mkubwa+ nanyi mna ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu aliwatengenezea ninyi kuwa miungu.+ 9 Je, hamkuwafukuza makuhani+ wa Yehova, wana wa Haruni, na Walawi, na je, hamwendelei kujifanyia makuhani kama vikundi vya watu wa nchi?+ Na yeyote aliyekuja na kujaza mkono wake nguvu kupitia ng’ombe-dume mchanga na kondoo-dume saba, akawa kuhani wa vitu ambavyo si miungu.+ 10 Lakini sisi, Yehova ndiye Mungu wetu,+ nasi hatujamwacha; lakini makuhani wanamtumikia Yehova, wana wa Haruni, na pia Walawi katika kazi.+ 11 Nao wanamfukizia Yehova toleo la kuteketezwa asubuhi baada ya asubuhi na jioni baada ya jioni+ na pia uvumba uliotiwa manukato;+ na tabaka za mkate ziko juu ya meza ya dhahabu safi,+ na kuna kinara cha taa+ cha dhahabu na taa zake ili kuwaka jioni baada ya jioni;+ kwa sababu tunashika wajibu+ kwa Yehova Mungu wetu, lakini ninyi mmemwacha.+ 12 Na tazama! pamoja nasi yuko mbele yetu Mungu wa kweli+ pamoja na makuhani+ wake na tarumbeta+ za ishara kwa ajili ya kupiga king’ora cha vita juu yenu. Enyi wana wa Israeli, msipigane na Yehova Mungu wa mababu zenu,+ kwa maana hamtafanikiwa.”+

13 Naye Yeroboamu akapeleka kikundi cha kuvizia kizunguke kwenda nyuma yao, hivi kwamba wakawa mbele ya Yuda na kile kikundi cha kuvizia kikawa nyuma yao.+ 14 Wakati wale wa Yuda walipogeuka, tazama, hapo walikuwa na pigano mbele na nyuma.+ Nao wakaanza kumlilia Yehova,+ huku makuhani wakipiga tarumbeta kwa sauti kubwa. 15 Na watu wa Yuda wakaanza kupiga kelele za vita.+ Na ikawa kwamba, watu wa Yuda walipopiga kelele za vita, ndipo Mungu wa kweli akamshinda+ Yeroboamu na Israeli wote mbele ya Abiya+ na Yuda. 16 Na wana wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Yuda, ndipo Mungu akawatia mkononi mwao.+ 17 Na Abiya na watu wake wakawapiga kwa mauaji makubwa; na waliouawa wa Israeli wakaendelea kuanguka chini, wanaume waliochaguliwa, mia tano elfu. 18 Basi wana wa Israeli wakatiishwa wakati huo, lakini wana wa Yuda walishinda kwa sababu walimtegemea+ Yehova Mungu wa mababu zao. 19 Na Abiya akaendelea kumfuatilia Yeroboamu, akateka majiji kutoka kwake, Betheli+ na miji yake ya kandokando, na Yeshana na miji yake ya kandokando, na Efraini na miji yake ya kandokando.+ 20 Na Yeroboamu hakuwa na nguvu+ tena katika siku za Abiya; lakini Yehova akampiga,+ hivi kwamba akafa.

21 Na Abiya akaendelea kujitia nguvu.+ Baada ya muda akajichukulia wake 14,+ akazaa wana 22+ na binti 16. 22 Na yale mambo mengine ya Abiya, njia zake na maneno yake, yameandikwa katika ufafanuzi wa nabii Ido.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki