-
2 Mambo ya Nyakati 9:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na abarikiwe Yehova Mungu wako,+ ambaye amependezwa+ nawe kwa kukuweka juu ya kiti chake cha ufalme+ uwe mfalme kwa ajili ya Yehova Mungu wako;+ kwa sababu Mungu wako alipenda+ Israeli, ili kuisimamisha mpaka wakati usio na kipimo, hivi kwamba akakuweka juu yao uwe mfalme+ ili utende uamuzi wa hukumu+ na uadilifu.”+
-