8 Na asifiwe Yehova Mungu wako, ambaye amependezwa nawe, akakuweka kwenye kiti chake cha ufalme ukiwa mfalme kwa niaba ya Yehova Mungu wako. Kwa sababu Mungu wako anawapenda Waisraeli,+ na ili kuwafanya wadumu milele, alikuweka kuwa mfalme juu yao ili utekeleze haki na uadilifu.”