1 Wafalme 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa kwamba mara tu Hiramu+ aliposikia maneno ya Sulemani, akaanza kushangilia sana, naye akasema: “Yehova amebarikiwa+ leo kwa maana amempa Daudi mwana mwenye hekima+ juu ya watu hawa wengi sana!”+ Zaburi 72:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na abarikiwe Yehova Mungu, Mungu wa Israeli,+Ambaye peke yake anafanya kazi za ajabu.+
7 Na ikawa kwamba mara tu Hiramu+ aliposikia maneno ya Sulemani, akaanza kushangilia sana, naye akasema: “Yehova amebarikiwa+ leo kwa maana amempa Daudi mwana mwenye hekima+ juu ya watu hawa wengi sana!”+