Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nawe umpe mtumishi wako moyo mtiifu ili awahukumu+ watu wako, atambue kati ya mema na mabaya;+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu+ hawa watu wako walio wagumu?”+

  • Methali 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Methali za Sulemani.+

      Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+

  • Methali 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwana ni mwenye hekima palipo na nidhamu ya baba,+ lakini mtu mwenye dhihaka ni yule ambaye hajasikia kemeo.+

  • Methali 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+

  • Methali 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki