1 Wafalme 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nawe umpe mtumishi wako moyo mtiifu ili awahukumu+ watu wako, atambue kati ya mema na mabaya;+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu+ hawa watu wako walio wagumu?”+ Methali 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+ Methali 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwana ni mwenye hekima palipo na nidhamu ya baba,+ lakini mtu mwenye dhihaka ni yule ambaye hajasikia kemeo.+ Methali 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+ Methali 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+
9 Nawe umpe mtumishi wako moyo mtiifu ili awahukumu+ watu wako, atambue kati ya mema na mabaya;+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu+ hawa watu wako walio wagumu?”+
10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+
13 Mwana ni mwenye hekima palipo na nidhamu ya baba,+ lakini mtu mwenye dhihaka ni yule ambaye hajasikia kemeo.+
20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+
24 Baba ya mtu mwadilifu hakika atakuwa na shangwe;+ na mtu anayekuwa baba ya mwenye hekima atamshangilia pia.+