Methali 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+ Methali 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Msikilize baba yako aliyekuzaa,+ wala usimdharau mama yako kwa sababu tu amezeeka.+ Methali 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila.
10 Methali za Sulemani.+ Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+
17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila.