Methali 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+ Methali 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeyote anayezaa mtoto mjinga—ni huzuni kwake;+ na baba ya mtoto asiye na akili hana shangwe.+ Methali 17:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mwana mjinga ni huzuni kwa baba yake+ na ni uchungu kwa mama aliyemzaa.+
20 Mwana mwenye hekima ndiye humfanya baba yake ashangilie,+ lakini mtu mjinga anamdharau mama yake.+