14 Mara moja Daudi akawaambia watumishi wake wote waliokuwa pamoja naye katika Yerusalemu: “Simameni, tukimbie;+ kwa maana hatutaponyoka kwa sababu ya Absalomu! Nendeni upesi, asije akaharakisha, akatufikia na kututendea mabaya na kulipiga jiji kwa makali ya upanga!”+