Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mwanadamu akifanya dhambi juu ya mwanadamu,+ Mungu atakuwa mwamuzi wake;+ lakini mwanadamu akifanya dhambi juu ya Yehova,+ ni nani atakayetoa sala kwa ajili yake?”+ Lakini hawakuisikiliza sauti ya baba+ yao, kwa sababu sasa Yehova alitaka kuwaua.+

  • 1 Samweli 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wanawe hawakutembea katika njia zake,+ bali walikuwa na mwelekeo wa kufuata faida isiyo ya haki+ na wakawa wakikubali rushwa+ na kupotosha hukumu.+

  • 2 Samweli 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mara moja Daudi akawaambia watumishi wake wote waliokuwa pamoja naye katika Yerusalemu: “Simameni, tukimbie;+ kwa maana hatutaponyoka kwa sababu ya Absalomu! Nendeni upesi, asije akaharakisha, akatufikia na kututendea mabaya na kulipiga jiji kwa makali ya upanga!”+

  • Methali 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Methali za Sulemani.+

      Mwana mwenye hekima ndiye anayemfanya baba ashangilie,+ naye mwana mjinga ni huzuni ya mama yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki