12 Na mtu atakayejiendesha kwa kimbelembele kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama ili kuhudumu hapo kwa Yehova Mungu wako au kwa mwamuzi,+ mtu huyo lazima afe;+ nawe utaondolea mbali kilicho kibaya kutoka Israeli.+
31 “Mwanadamu anapomtendea dhambi mwanadamu mwenzake,+ naye amlaani ili kumtia chini ya wajibu wa laana hiyo,+ naye kwa kweli aingie katika laana hiyo mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii,