Zaburi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi. Methali 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Je, kimbelembele kimekuja? Basi aibu itakuja;+ lakini wenye kiasi wana hekima.+ Hosea 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Hata hivyo, mtu yeyote asishindane,+ wala mtu yeyote asikaripie, kwa maana watu wako ni kama wale wanaoshindana na kuhani.+
13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi.
4 “Hata hivyo, mtu yeyote asishindane,+ wala mtu yeyote asikaripie, kwa maana watu wako ni kama wale wanaoshindana na kuhani.+