12 Na mtu atakayejiendesha kwa kimbelembele kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama ili kuhudumu hapo kwa Yehova Mungu wako au kwa mwamuzi,+ mtu huyo lazima afe;+ nawe utaondolea mbali kilicho kibaya kutoka Israeli.+
18 Nao wakasema: “Njooni, tutafakari juu ya Yeremia wazo fulani,+ kwa maana sheria haitaangamia kutoka kwa kuhani+ au shauri kutoka kwa mwenye hekima au neno kutoka kwa nabii.+ Njooni tumpige kwa ulimi,+ nasi tusisikilize lolote la maneno yake.”