21 Kuhani huyo sasa atamwapisha mwanamke huyo kwa kiapo kinachohusisha kulaani,+ naye kuhani atamwambia mwanamke huyo: “Yehova na akuweke kuwa laana na kiapo katikati ya watu wako, kwa Yehova kulifanya paja+ lako lianguke, na tumbo lako livimbe.
20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.
24 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na wakaaji wake,+ laana+ zote ambazo zimeandikwa katika kile kitabu walichosoma mbele ya mfalme wa Yuda,+