Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kuhani huyo sasa atamwapisha mwanamke huyo kwa kiapo kinachohusisha kulaani,+ naye kuhani atamwambia mwanamke huyo: “Yehova na akuweke kuwa laana na kiapo katikati ya watu wako, kwa Yehova kulifanya paja+ lako lianguke, na tumbo lako livimbe.

  • Kumbukumbu la Torati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yehova hatataka kumsamehe,+ lakini hasira ya Yehova+ na ukali+ wake utatoa moshi juu ya mtu huyo,+ na kiapo chote ambacho kimeandikwa katika kitabu hiki+ hakika kitamkalia, na Yehova kwa kweli atafutilia mbali jina lake kutoka chini ya mbingu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na wakaaji wake,+ laana+ zote ambazo zimeandikwa katika kile kitabu walichosoma mbele ya mfalme wa Yuda,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki