Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo Yoshua akatangaza kiapo wakati huo, akasema: “Na alaaniwe mbele za Yehova mtu yule atakayesimama na kujenga jiji hili, yaani, Yeriko. Kwa kufiwa na mzaliwa wake wa kwanza na auweke msingi wake, na kwa kufiwa na mwana wake aliye mdogo zaidi na aisimamishe milango yake.”+

  • 1 Samweli 14:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na watu wa Israeli walikuwa wamebanwa sana siku hiyo, na bado Sauli akawaapisha watu,+ akisema: “Alaaniwe mtu yeyote atakayekula mkate kabla ya jioni na mpaka niwe nimejilipiza kisasi+ juu ya adui zangu!” Na hakuna yeyote kati ya watu aliyeonja mkate.+

  • 1 Wafalme 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Mwanadamu anapomtendea dhambi mwanadamu mwenzake,+ naye amlaani ili kumtia chini ya wajibu wa laana hiyo,+ naye kwa kweli aingie katika laana hiyo mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki