28 Sasa Samsoni+ akamwita Yehova+ na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali nikumbuke,+ tafadhali unitie nguvu,+ mara hii moja tu, Ee Mungu wa kweli, ili nijilipize kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya jicho langu moja kati ya macho yangu mawili.”+