Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi jua likasimama tuli, mwezi nao ukasimama, mpaka taifa hilo lilipokuwa limelipiza kisasi juu ya adui zake.+ Je, habari hizo hazikuandikwa katika kitabu cha Yashari?+ Na jua likaendelea kusimama katikati ya mbingu nalo halikuharakisha kwenda kutua kwa karibu siku nzima.+

  • Waamuzi 11:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Lakini akamwambia: “Baba yangu, ikiwa umemfungulia Yehova kinywa chako, nitendee kulingana na neno lililotoka katika kinywa chako,+ kwa kuwa Yehova amekulipizia kisasi juu ya adui zako, wana wa Amoni.”

  • Waamuzi 16:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Sasa Samsoni+ akamwita Yehova+ na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, tafadhali nikumbuke,+ tafadhali unitie nguvu,+ mara hii moja tu, Ee Mungu wa kweli, ili nijilipize kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya jicho langu moja kati ya macho yangu mawili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki