Waamuzi 11:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo Yeftha akaweka nadhiri+ kwa Yehova na kusema: “Hakika ukiwatia wana wa Amoni mkononi mwangu, Waamuzi 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 itatukia pia kwamba yule atakayetoka nje, atakayetoka nje ya milango ya nyumba yangu kuja kunipokea nitakaporudi kwa amani+ kutoka kwa wana wa Amoni, lazima atakuwa wa Yehova,+ nami nitamtoa huyo kuwa toleo la kuteketezwa.”+ Waefeso 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Enyi watoto, watiini wazazi+ wenu katika muungano+ na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu:+ Wakolosai 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Enyi watoto, watiini+ wazazi wenu katika kila jambo, kwa maana hilo linapendeza vema katika Bwana.
30 Ndipo Yeftha akaweka nadhiri+ kwa Yehova na kusema: “Hakika ukiwatia wana wa Amoni mkononi mwangu,
31 itatukia pia kwamba yule atakayetoka nje, atakayetoka nje ya milango ya nyumba yangu kuja kunipokea nitakaporudi kwa amani+ kutoka kwa wana wa Amoni, lazima atakuwa wa Yehova,+ nami nitamtoa huyo kuwa toleo la kuteketezwa.”+
20 Enyi watoto, watiini+ wazazi wenu katika kila jambo, kwa maana hilo linapendeza vema katika Bwana.