Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo Yeftha akaweka nadhiri+ kwa Yehova na kusema: “Hakika ukiwatia wana wa Amoni mkononi mwangu,

  • Waamuzi 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 itatukia pia kwamba yule atakayetoka nje, atakayetoka nje ya milango ya nyumba yangu kuja kunipokea nitakaporudi kwa amani+ kutoka kwa wana wa Amoni, lazima atakuwa wa Yehova,+ nami nitamtoa huyo kuwa toleo la kuteketezwa.”+

  • Waefeso 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Enyi watoto, watiini wazazi+ wenu katika muungano+ na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu:+

  • Wakolosai 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Enyi watoto, watiini+ wazazi wenu katika kila jambo, kwa maana hilo linapendeza vema katika Bwana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki