Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+

  • 1 Samweli 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo mara tu alipomwachisha kunyonya, akapanda pamoja naye, pamoja na ng’ombe-dume wa miaka mitatu na efa moja ya unga na mtungi mkubwa wa divai,+ naye akaingia ndani ya nyumba ya Yehova katika Shilo.+ Na huyo mvulana alikuwa pamoja naye.

  • 1 Samweli 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na mimi nimemwazima Yehova+ mvulana huyu. Siku zote atakazokuwapo, yeye ni mtu aliyeombwa kwa ajili ya Yehova.”

      Naye Elkana akainama hapo mbele za Yehova.+

  • Zaburi 66:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nitaingia nyumbani kwako nikiwa na matoleo mazima ya kuteketezwa;+

      Nitakutimizia nadhiri zangu.+

  • Yeremia 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao wamejenga mahali pa juu pa Tofethi,+ palipo katika bonde la mwana wa Hinomu,+ ili kuwateketeza wana wao na binti zao katika moto,+ jambo ambalo sikuamuru wala halikuingia moyoni mwangu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki