18Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+
9 Ndipo Hana akasimama baada ya wao kula huko Shilo na baada ya kunywa, huku Eli kuhani akiwa ameketi juu ya kiti kilicho kando ya mwimo wa mlango wa hekalu+ la Yehova.