24 Kwa hiyo mara tu alipomwachisha kunyonya, akapanda pamoja naye, pamoja na ng’ombe-dume wa miaka mitatu na efa moja ya unga na mtungi mkubwa wa divai,+ naye akaingia ndani ya nyumba ya Yehova katika Shilo.+ Na huyo mvulana alikuwa pamoja naye.
2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+