7 Katika mwezi wa kwanza,+ yaani, mwezi wa Nisani, katika mwaka wa kumi na mbili+ wa Mfalme Ahasuero, mtu fulani alipiga Puri,+ yaani, Kura,+ mbele ya Hamani siku baada ya siku na mwezi baada ya mwezi, mpaka mwezi wa kumi na mbili, yaani, mwezi wa Adari.+