Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi kwenu. Utakuwa mwezi wa kwanza wa mwaka kwenu.+

  • Kutoka 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sherehe ya keki zisizo na chachu utaishika.+ Utakula keki zisizo na chachu, kama vile nilivyokuamuru, siku saba kwenye ule wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu ni katika mwezi wa Abibu kwamba ulitoka Misri.

  • Esta 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika mwezi wa kwanza,+ yaani, mwezi wa Nisani, katika mwaka wa kumi na mbili+ wa Mfalme Ahasuero, mtu fulani alipiga Puri,+ yaani, Kura,+ mbele ya Hamani siku baada ya siku na mwezi baada ya mwezi, mpaka mwezi wa kumi na mbili, yaani, mwezi wa Adari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki