Yoeli 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao waliwapigia kura watu wangu;+ nao walikuwa wakimtoa mtoto wa kiume ili kumpata kahaba,+ walimuuza mtoto wa kike wapate divai ili wanywe. Obadia 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku uliyosimama kando, siku ambayo wageni walichukua jeshi lake na kulipeleka utekwani+ na wageni kabisa walipoingia katika lango lake,+ wakapiga kura+ juu ya Yerusalemu, wewe pia ulikuwa kama mmoja wao. Mathayo 27:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Walipokuwa wamemtundika mtini+ wakagawa mavazi yake ya nje+ kwa kupiga kura,+
3 Nao waliwapigia kura watu wangu;+ nao walikuwa wakimtoa mtoto wa kiume ili kumpata kahaba,+ walimuuza mtoto wa kike wapate divai ili wanywe.
11 Siku uliyosimama kando, siku ambayo wageni walichukua jeshi lake na kulipeleka utekwani+ na wageni kabisa walipoingia katika lango lake,+ wakapiga kura+ juu ya Yerusalemu, wewe pia ulikuwa kama mmoja wao.