Zaburi 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+ Yohana 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na huko wakamtundika mtini,+ na watu wengine wawili pamoja naye, mmoja upande huu na mmoja upande huu, lakini Yesu katikati.+
16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+
18 na huko wakamtundika mtini,+ na watu wengine wawili pamoja naye, mmoja upande huu na mmoja upande huu, lakini Yesu katikati.+