Yohana 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kama vile Musa alivyoinua nyoka+ nyikani, ndivyo Mwana wa binadamu atakavyoinuliwa,+ Matendo 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa mababu zetu alimfufua+ Yesu, ambaye ninyi mlimuua, kwa kumtundika mtini.+ 2 Wakorintho 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye. Wagalatia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+
21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.
13 Kristo kwa kutununua+ alituachilia huru+ kutoka katika laana ya Sheria kwa yeye kuwa laana+ badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa juu ya mti.”+