Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+

  • Mathayo 27:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Walipokuwa wamemtundika mtini+ wakagawa mavazi yake ya nje+ kwa kupiga kura,+

  • Yohana 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo wanafunzi wengine wakawa wanamwambia: “Tumemwona Bwana!” Lakini yeye akawaambia: “Nisipoona katika mikono yake alama ya misumari na nitie kidole changu katika alama ya misumari na kuutia mkono wangu ndani ya ubavu wake,+ hakika mimi sitaamini.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki