Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Leo mnaondoka katika mwezi wa Abibu.+

  • Kutoka 23:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Utaishika sherehe ya keki zisizo na chachu.+ Utakula keki zisizo na chachu+ siku saba, kama vile ambavyo nimekuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+

  • Kutoka 34:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sherehe ya keki zisizo na chachu utaishika.+ Utakula keki zisizo na chachu, kama vile nilivyokuamuru, siku saba kwenye ule wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu ni katika mwezi wa Abibu kwamba ulitoka Misri.

  • Hesabu 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+

  • Esta 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Katika mwezi wa kwanza,+ yaani, mwezi wa Nisani, katika mwaka wa kumi na mbili+ wa Mfalme Ahasuero, mtu fulani alipiga Puri,+ yaani, Kura,+ mbele ya Hamani siku baada ya siku na mwezi baada ya mwezi, mpaka mwezi wa kumi na mbili, yaani, mwezi wa Adari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki