15 Utaishika sherehe ya keki zisizo na chachu.+ Utakula keki zisizo na chachu+ siku saba, kama vile ambavyo nimekuamuru, wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. Nao wasionekane mbele zangu mikono mitupu.+
18 “Sherehe ya keki zisizo na chachu utaishika.+ Utakula keki zisizo na chachu, kama vile nilivyokuamuru, siku saba kwenye ule wakati uliowekwa katika mwezi wa Abibu,+ kwa sababu ni katika mwezi wa Abibu kwamba ulitoka Misri.
16“Mwezi wa Abibu+ na uadhimishwe, nawe utasherehekea pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu Yehova Mungu wako alikutoa Misri wakati wa usiku.+