1 Samweli 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Hana akasimama baada ya wao kula huko Shilo na baada ya kunywa, huku Eli kuhani akiwa ameketi juu ya kiti kilicho kando ya mwimo wa mlango wa hekalu+ la Yehova. 1 Samweli 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye Samweli akaendelea kulala mpaka asubuhi. Kisha akafungua milango ya nyumba ya Yehova.+ Na Samweli akaogopa kumwambia Eli maono hayo.+ Zaburi 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mimi, katika wingi wa fadhili zako zenye upendo+Nitaingia katika nyumba yako,+Nitainama kulielekea hekalu lako takatifu kwa kukuogopa.+
9 Ndipo Hana akasimama baada ya wao kula huko Shilo na baada ya kunywa, huku Eli kuhani akiwa ameketi juu ya kiti kilicho kando ya mwimo wa mlango wa hekalu+ la Yehova.
15 Naye Samweli akaendelea kulala mpaka asubuhi. Kisha akafungua milango ya nyumba ya Yehova.+ Na Samweli akaogopa kumwambia Eli maono hayo.+
7 Na mimi, katika wingi wa fadhili zako zenye upendo+Nitaingia katika nyumba yako,+Nitainama kulielekea hekalu lako takatifu kwa kukuogopa.+