1 Samweli 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi siku moja Hana alisimama baada ya wao kumaliza kula na kunywa huko Shilo. Wakati huo, kuhani Eli alikuwa ameketi kwenye kiti karibu na mwimo wa mlango wa hekalu*+ la Yehova. 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:9 w07 3/15 15 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:9 Mnara wa Mlinzi,3/15/2007, uku. 15
9 Basi siku moja Hana alisimama baada ya wao kumaliza kula na kunywa huko Shilo. Wakati huo, kuhani Eli alikuwa ameketi kwenye kiti karibu na mwimo wa mlango wa hekalu*+ la Yehova.