Yeremia 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Nanyi kwa kweli mtanitafuta na kunipata,+ kwa maana mtanitafuta kwa moyo wenu wote.+ Danieli 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+ Mathayo 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.
3 Nami nikaelekeza uso wangu+ kwa Yehova Mungu wa kweli, ili kumtafuta kwa sala+ na maombi, pamoja na kufunga na nguo za magunia na majivu.+
7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.