16Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+