5 Na Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Israeli pamoja naye, wale waliokutana naye kwa wakati uliowekwa, walikuwa mbele ya lile Sanduku, wakitoa dhabihu+ za kondoo na ng’ombe ambao hawangeweza kuhesabiwa kwa sababu ya wingi.+
6 Na Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Waisraeli, waliokutana naye kwa wakati uliowekwa mbele ya lile Sanduku walikuwa wakitoa dhabihu+ za kondoo na ng’ombe ambao hawangeweza kuhesabiwa kwa sababu ya wingi.